Wednesday, April 17, 2013

MWEZI APRILI

 MATHAYO 7:7

Tukumbuke kuombea

1. Wakristo waliookoka wawe na umoja

2.  Wachungaji na maaskofu wawe na macho ya rohoni

3. Uvivu wa kushuhudia mitaani tuukemee. Watu wawe washuhudiaji.

4.  Tuombee wanafunzi waliookoka mashuleni.

Friday, February 1, 2013

FEBRUARI/FEBRUARY 2013 SCHEDULE




TAREHE/DATE
DAY/SIKU
OMBI/PRAYER ITEM
1
FRIDAY /
IJUMAA
Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which are taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered/
 
Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vinavyoendelea huko Dodoma. Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele.
2
SATURDAY/
JUMAMOSI
 
Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which are taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered/
 
Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vinavyoendelea huko Dodoma. Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele.
3
SUNDAY/
JUMAPILI
Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which are taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered/
 
Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vinavyoendelea huko Dodoma. Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele.
4
MONDAY/
JUMATATU
Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which are taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered/
 
Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vinavyoendelea huko Dodoma. Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele.
5
TUESDAY/
JUMANNE
Pray for peace in Tanzania. Praying for parliamentary discussions which are taking place in Dodoma. The poor and majority to be highly considered/
 
Ombea amani katika Tanzania. Ombea vikao vya bunge vinavyoendelea huko Dodoma. Wanyonge na masikini wa Tanzania wapewe kipaumbele.
6
WED’DAY/
JUMATANO
Pray for peace. We should pray that the nation should not be led under the influence of darkness powers and freemasonry/
 
Omba amani ya nchi. Tukatae nchi yetu kuongozwa chini ya nguvu za majini, mapepo, mizimu, kafara, freemason na falme za giza kwa ujumla wake.
7
THURSDAY/
ALHAMISI
 
Pray for peace. We should pray that the nation should not be led under the influence of darkness powers and freemasonry/
 
Omba amani ya nchi. Tukatae nchi yetu kuongozwa chini ya nguvu za majini, mapepo, mizimu, kafara, freemason na falme za giza kwa ujumla wake.
8
FRIDAY /
IJUMAA
Pray for peace. We should pray that the nation should not be led under the influence of darkness powers and freemasonry/
 
Omba amani ya nchi. Tukatae nchi yetu kuongozwa chini ya nguvu za majini, mapepo, mizimu, kafara, freemason na falme za giza kwa ujumla wake.
9
SATURDAY/
JUMAMOSI
 
Pray for peace. We should pray that the nation should not be led under the influence of darkness powers and freemasonry/
 
Omba amani ya nchi. Tukatae nchi yetu kuongozwa chini ya nguvu za majini, mapepo, mizimu, kafara, freemason na falme za giza kwa ujumla wake.
10
SUNDAY/
JUMAPILI
Pray for peace. We should pray that the nation should not be led under the influence of darkness powers and freemasonry/
 
Omba amani ya nchi. Tukatae nchi yetu kuongozwa chini ya nguvu za majini, mapepo, mizimu, kafara, freemason na falme za giza kwa ujumla wake.
11
MONDAY/
JUMATATU
Pray for peace. We should pray that the nation should not be led under the influence of darkness powers and freemasonry/
 
Omba amani ya nchi. Tukatae nchi yetu kuongozwa chini ya nguvu za majini, mapepo, mizimu, kafara, freemason na falme za giza kwa ujumla wake.

Friday, January 4, 2013

HERI YA MWAKA MPYA

Tunamshukuru Mungu kwakutupa nafasi nyingine tena kikanisa. Katika mwezi wa january 2013 tukumbuke kuombea yafuatayo

                         Mathayo 7:7  1                      1 Wathesalonike 5:17

1.  Nguvu ya Roho Mtakatifu kanisani
2.  Kukemea usingizi wa kiroho.
3.  Kukemea vurugu na choko choko za kidini nchini ikiwa ni pamoja na kuchoma makanisa na kuua wakristo
4.  Mipango ya siri ya kuchoma makanisa na kuua wakristo ijulikane kabla hawajatenda lolote baya na watiwe mbaroni.